UJENZI WA SGR

UJENZI WA SGR смотреть последние обновления за сегодня на .

Ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) nchini Tanzania

3409
29
9
00:02:58
20.01.2023

Kukamilika kwa ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) nchini Tanzania ni jambo linalongojewa kwa hamu na watanzania pamoja na nchi jirani zitakazonufaika na ujenzi wake. #kurunzi

#TAZAMA| ULIPOFIKIA UJENZI WA RELI YA KISASA YA SGR

1540
12
4
00:04:38
20.12.2022

Follow us on: FACEBOOK; SpotiLeo: 🤍 HabariLeo: 🤍 DailyNews: 🤍 INSTAGRAM; HabariLeo: 🤍 SpotiLeo: 🤍 TWITTER; Twitter HabariLeo: 🤍

#TAZAMA| ULIPOFIKIA UJENZI WA RELI YA KISASA SGR, WAZIRI MKUU AFIKA KUJIONEA

1761
14
1
00:07:54
24.11.2022

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema ameridhishwa na maendeleo ya mradi wa ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) na kwamba Serikali itaendelea kuhakikisha mradi huo unajengwa kwa viwango na kukamilika kama ilivyobainishwa kwenye mkataba. Amesema kuwa ujenzi wa reli hiyo unaendelea vizuri katika vipande vyote na kwamba Serikali itahakikisha mradi huo haukwami na itakabiliana na viashiria vyote vinavyoweza kukwamisha utekelezaji wake. Ameyasema hayo wakati akikagua maendeleo ya ujenzi wa stesheni kuu ya Dodoma katika eneo la Mkonze, jijini Dodoma. Akizungumza baada ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa stesheni hiyo, Mheshimiwa Majaliwa amewataka Watanzania wanaoshiriki katika ujenzi wa mradi huo wasimamie usalama wa mradi na wawe walinzi ili ukamilike kama ilivyokusudiwa. Follow us on: FACEBOOK; SpotiLeo: 🤍 HabariLeo: 🤍 DailyNews: 🤍 INSTAGRAM; HabariLeo: 🤍 SpotiLeo: 🤍 TWITTER; Twitter HabariLeo: 🤍

Ujenzi wa SGR, Mwanza- Isaka wafikia asilimia 23.4, Mbarawa azungumzia ishu ya wizi

590
4
0
00:02:35
20.01.2023

Waziriwa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa ameridhiswa na kasi ya ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) sehemu ya Isaka-Mwanza kilomita 341 na kuwataka wakazi wa kanda ya ziwa kujipanga kutumia fursa hiyo ya uchumi. Akiwa ziarani mkoani Mwanza kukagua maendeleo ya ujenzi wa mradi huo, Mbarawa amesema ni wakati wa wadau mbalimbali kubuni fursa za kibiashara na kihuduma zitakazoendana na matumizi ya treni mpya ya kisasa. “Fursa za reli ni nyingi hivyo hakikisheni mnaziibua ili kuwezesha huduma ya treni itakapoanza kufanya kazi kwa tija”, amesema Prof. Mbarawa. Aidha amewataka wafanyakazi wa reli hiyo kuwa wazalendo kwa kuepuka tabia za wizi kwani zinaweza kuchelewesha mradi na kuleta hasara kwa Serikali na Mkandarasi.

🔴LIVE: RAIS SAMIA AKISHUHUDIA UTIAJI SAINI MKATABA WA UJENZI WA RELI YA KISASA (SGR) TABORA-KIGOMA

1778
8
0
00:45:00
20.12.2022

WATCH WASAFI TV📺 AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113 LISTEN WASAFI FM 📻 88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻 Follow Us On: INSTAGRAM: 🤍 || 🤍 TWITTER: 🤍 || 🤍 FACEBOOK: 🤍 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅. #wasafi #wasafitv #wasafifm

#TAZAMA| ULIPOFIKIA UJENZI WA SGR

842
13
3
00:03:24
21.03.2023

SHIRIKA la Reli Tanzania TRC limesema ujenzi wa Reli ya kisasa SGR kipande cha Dar es salaam hadi Morogoro umefikia asilimia 97.94 huku likibainisha kuanza safari kati ya mwezi wa nne mwishoni au wa tano mwaka huu Hiyo yamebainishwa Jijini Dodoma na mkurugenzi mkuu wa shirika hilo Masanja Kadogosa katika ziara ya viongozi wa Baraza kuu la umoja wa wanawake wa Chama Cha Mapinduzi UWT Follow us on: FACEBOOK; SpotiLeo: 🤍 HabariLeo: 🤍 DailyNews: 🤍 INSTAGRAM; HabariLeo: 🤍 SpotiLeo: 🤍 TWITTER; Twitter HabariLeo: 🤍

Makaburi 1,500 yahamishwa kupisha ujenzi wa SGR Mwanza

6659
15
9
00:11:11
23.12.2022

Makaburi takribani 1,500 ya Waislamu yaliyoko Mtaa wa Sokoni Mkuyuni jijini Mwanza yameanza kuhamishwa ili kupisha ujenzi wa mradi wa Reli ya Kisasa (SGR) kipande cha Mwanza hadi Isaka mkoani Shinyanga na kupelekwa katika makaburi ya Nyashana kata ya Isamilo jijini humo.

🔴#Live: MAKAMU wa RAIS AZINDUA UJENZI wa RELI ya KISASA (SGR) TABORA - ISAKA (KM 165)..

5350
19
1
02:56:09
18.01.2023

🔴#live: MAKAMU wa RAIS AZINDUA UJENZI wa RELI ya KISASA (SGR) TABORA - ISAKA (KM 165).. JANUARI 18, 2023, Makamu wa Rais, Philip Mpango ameshiriki hafla ya uzinduzi wa ujenzi wa mradi wa reli ya kisasa ( SGR ) kipande cha Tabora - Isaka chenye urefu wa KM 165... ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: 🤍 ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:🤍 ⚫️ iOS:🤍 ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: 🤍 ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910) ⚫️ Email: globaltvonlinenews🤍gmail.com OR abbymrisho🤍gmail.com ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: 🤍 ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: 🤍 ⚫️ GLOBAL RADIO TV: 🤍 ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: 🤍 ⚫️ Subscribe Global TV 🤍

#TAZAMA| ULIPOFIKIA UJENZI WA RELI YA KISASA SGR DAR - MWANZA, MSIGWA AFUNGUKA

1882
21
0
00:04:45
15.01.2023

Follow us on: FACEBOOK; SpotiLeo: 🤍 HabariLeo: 🤍 DailyNews: 🤍 INSTAGRAM; HabariLeo: 🤍 SpotiLeo: 🤍 TWITTER; Twitter HabariLeo: 🤍

#TAZAMA| MAENDELEO YA UJENZI WA RELI YA KISASA SGR DAR, MAWAZIRI DRC, BURUNDI WATEMBELEA KUJIONEA

1036
13
1
00:05:21
10.11.2022

Tanzanite madini pekee Duniani ambayo hupatikana nchini Tanzania tu, jina hili la Tanzanaiti ndilo limetumika katika Jengo la Shirika la Reli Tanzania, ikiwa ni kuipa thamanani Reli ya Kisasa SGR. Treni hizi za mfumo wa umeme, zinatarajiwa kufika katika nchi jirani na Tanzania ikiwemo Rwanda, Bujumbura, Burundi na hatimaye Goma katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Hili ndilo Jengo lililobeba sura ya Tanzanaiti, ambapo hii leo wajumbe kutoka DRC na wa Tanzania, wamefika katika jengo hili kujionea mradi huu ulipofikia. Follow us on: FACEBOOK; SpotiLeo: 🤍 HabariLeo: 🤍 DailyNews: 🤍 INSTAGRAM; HabariLeo: 🤍 SpotiLeo: 🤍 TWITTER; Twitter HabariLeo: 🤍

Ujenzi reli ya SGR Morogoro – Singida wafikia asilimia 91, Possi aridhishwa na kasi

2187
18
5
00:06:29
23.01.2023

Ujenzi wa Reli ya kisasa (SGR) kipande cha Morogoro mpaka Makutopora Mkoani Singida umefikia zaidi asilimia 91 ya ujenzi wake huku stesheni za Morogoro na Kilosa zimekamalika. Hayo yamesema na Naibu Katibu Mkuu anayesimamia sekta ya Uchukuzi Dk. Ally Possi wakati akikagua hatua za ujenzi huo kwa kipande cha Morogoro Makutopora.

Akamatwa kwa wizi wa vifaa vya ujenzi wa reli ya kisasa SGR

3171
9
2
00:02:57
11.01.2023

Subscribe hapa : 🤍 Tufuate Kwenye Twitter : 🤍 Like Ukurasa wetu wa Facebook : 🤍

Wakamatwa kwa wizi wa vifaa vya ujenzi wa SGR na daraja la Magufuli

5518
13
7
00:01:53
17.01.2023

Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza linawashilikia watu 9 kwa tuhuma za makosa mbalimbali ikiwemo wizi wa vifaa vya ujenzi katika mradi wa reli ya kisasa SGR pamoja na ujenzi wa daraja la Kigongo – Busisi maarufu kama daraja la JPM. Subscribe hapa : 🤍 Tufuate Kwenye Twitter : 🤍 Like Ukurasa wetu wa Facebook : 🤍

NBC WAELEZA NAFASI YAO KATIKA KIPANDE CHA TANO CHA SGR, MWANZA - ISAKA

559
3
0
00:02:12
12.06.2021

MAANDALIZI YA UWEKAJI WA JIWE LA MSINGI UJENZI WA SGR RELI YA KISASA KIPANDE CHA TANO MWANZA HADI ISAKA

Walalamikia kunyimwa ajira ujenzi wa reli ya kisasa SGR | Tunalala nje | Wamenifukuza kazi

916
1
0
00:02:57
15.03.2022

Subscribe hapa : 🤍 Tufuate Kwenye Twitter : 🤍 Like Ukurasa wetu wa Facebook : 🤍

MAENDELEO YA UJENZI WA SGR KM ZOTE 1219, DAR - MWANZA; ZAIDI YA SHILINGI TRIL 16 ZA WATANZANIA.

7391
58
10
00:05:29
15.07.2022

MAENDELEO YA UJENZI WA SGR KM ZOTE 1219, DAR - MWANZA; ZAIDI YA SHILINGI TRIL 16 ZA WATANZANIA.

KIAMA CHATANGANZWA WAHUJUMU UJENZI RELI YA KISASA 'SGR'...

2276
12
4
00:04:46
13.01.2023

KIAMA CHATANGANZWA WAHUJUMU UJENZI RELI YA KISASA 'SGR'... WATCH WASAFI TV📺 AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113 LISTEN WASAFI FM 📻 88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻 Follow Us On: INSTAGRAM: 🤍 || 🤍 TWITTER: 🤍 || 🤍 FACEBOOK: 🤍 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅. #wasafi #wasafitv #wasafifm

PROF. MBARAWA AKAGUA UJENZI WA SGR ISAKA-MWANZA

652
7
0
00:04:08
20.01.2023

WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa amezungumzia kuridhishwa kwake na kasi ya ujenzi wa reli ya kisasa SGR sehemu ya Isaka-Mwanza KM 341na kuwataka wakazi wa kanda ya ziwa kujipanga kutumia fursa hiyo ya uchumi. Amesema wakati ujenzi wa SGR ukiendelea ni wakati wa wadau mbalimbali kubuni fursa za kibiashara na kihuduma zitakazoendana na matumizi ya treni mpya ya kisasa.

#Kaziiendelee TAZAMA ULIPOFIKIA UJENZI WA SGR KUANZIA DAR MPAKA MAKUTUPORA

25852
178
58
00:32:22
10.09.2021

#Kaziiendelee TAZAMA ULIPOFIKIA UJENZI WA SGR KUANZIA DAR MPAKA MAKUTUPORA

Назад
Что ищут прямо сейчас на
UJENZI WA SGR resepi ayam percik 한류 resenha ظا reseaux Persephanii WIKI Yuval Levy Wiki reseña Malwa AV Frames inc repairing drones 주먹 dui case bigg boss aari arjuna wiki repair wine archwiki república reolink poe camera reolink 4k DAN SANCHEZ